Dawa ya Asili ya Meno Bila Kung'oa


 

Je, Unasumbuliwa na Jino Kiasi cha:

  • Kushindwa kutafuna chakula upande wa jino lenye tatizo,
  • Jino kulegea kana kwamba linataka kung'oka,
  • Kuhisi ganzi unapokunywa maji ya baridi,
  • Kupata maumivu kila unapokula chakula kwa sababu limetoboka,
  • Kushindwa kulala usiku unahangaika na kubaki kuwa mlinzi wa nyumba,
  • Fizi kuvimba hadi kuumuka uso upande wa jino lenye tatizo
  • n.k

Zijue Sababu Zinazopelekea Jino na Fidhi Kuuma

Baadhi ya sababu ni kama zifuatazo:

  • Ulaji wa vyakula vyenye sukari mara kwa mara kama pipi, ice cream, n.k
  • Kutosafisha meno ipasavyo na mswaki
  • kutosafisha kinywa kila siku
  • Kutosafisha kinywa na dawa maalumu ya meno ya kusafishia meno
  • Bakteria wanaoozesha chakula walipo kwenye kinywa (Streptococci)
  • Mabaki ya chakula yanayobaki kwenye meno baada ya kula kwa muda mrefu bila kuondolewa.

Njia za Kuepukana na Magonjwa ya Fidhi na Meno

🌿Zifuatazo ni baadhi ya njia unazoweza kutumia kuepukana na tatizo hili:
  • 🍉🍃Safisha kinywa au sukutuwa na maji vizuri kila umalizapo kula.
  • 🍉Tumia dawa ya meno kusafisha kinywa mara mbili kwa siku. (Asubuhi uamkapo na usiku kabla ya kulala au baada ya msosi wa jioni).
  • 🍉Sukutuwa kinywa kwa maji inapowezekana kila unapokula vyakula vyenye sukari nyingi.

Dawa ya Asili ya Meno Bila Kung'oa

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿


🍏Kama wewe ni kama mimi hupendi kung'oa meno na hauna mpango huo siku za usoni unaweza kuagiza dawa hii meno ;
Tibu tatizo la meno kwa 100%

 💰Bei:Tsh7,500 
Dozi ni chupa 4
🌎Tunatuma bidhaa zetu mikoa yote ya Tanzania bara na Visiwani kwa uaminifu mkubwa.
Gharama ya kutuma kwenye basi ni Tsh10,000/=
                              

 

Tabibu Kweli
Tanzania 🇹🇿
WhatsApp/Call:
0658674553/0766107722







Maoni